Zaburi Chapter 116

For English

Read Zaburi Chapter 116 Online

Read Zaburi Chapter 116 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of Zaburi in the Old Testament. Browse every verse with easy chapter navigation, continue to the next chapter, or explore the complete Book of Zaburi and the Holy Bible online.

Choose a Chapter

Zaburi 116

Sura 116

1. Haleluya. Nampenda Bwana kwa kuwa anaisikiliza Sauti yangu na dua zangu.

2. Kwa maana amenitegea sikio lake, Kwa hiyo nitamwita siku zangu zote.

3. Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata. Naliona taabu na huzuni;

4. Nikaliitia jina la Bwana. Ee Bwana, nakuomba sana, Uniokoe nafsi yangu.

5. Bwana ni mwenye neema na haki, Naam, Mungu wetu ni mwenye rehema.

6. Bwana huwalinda wasio na hila; Nalidhilika, akaniokoa.

7. Ee nafsi yangu, urudi rahani mwako, Kwa kuwa Bwana amekutendea ukarimu.

8. Maana umeniponya nafsi yangu na mauti, Macho yangu na machozi, Na miguu yangu na kuanguka.

9. Nitaenenda mbele za Bwana Katika nchi za walio hai.

10. Naliamini, kwa maana nitasema, Mimi naliteswa sana.

11. Mimi nalisema kwa haraka yangu, Wanadamu wote ni waongo.

12. Nimrudishie Bwana nini Kwa ukarimu wake wote alionitendea?

13. Nitakipokea kikombe cha wokovu; Na kulitangaza jina la Bwana;

14. Nitaziondoa nadhiri zangu kwa Bwana, Naam, mbele ya watu wake wote.

15. Ina thamani machoni pa Bwana Mauti ya wacha Mungu wake.

16. Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, Mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako, Umevifungua vifungo vyangu.

17. Nitakutolea dhabihu ya kushukuru; Na kulitangaza jina la Bwana;

18. Nitaziondoa nadhiri zangu kwa Bwana, Naam, mbele ya watu wake wote.

19. Katika nyua za nyumba ya Bwana, Ndani yako, Ee Yerusalemu.

About Zaburi Chapter 116

Read Zaburi Chapter 116 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of Zaburi in the Old Testament. Continue reading with the chapter navigation above or explore the complete book.

Book Information

Book: Zaburi
Chapter: 116
Testament: Old Testament

How to Read this Chapter

Use the Previous and Next Chapter buttons to continue reading Zaburi. You can also adjust the font size for comfortable reading and browse other books of the Bible using the navigation links.

https://www.youtube.com/watch?v=rzsT_Q3KLzE

More Resources

Continue Reading the Bible

Continue reading Zaburi Chapter 116 and explore every book, chapter and verse of the Holy Bible. Use the navigation links above and below to move through the Scriptures with ease.

Frequently Asked Questions

What is Zaburi Chapter 116?

Zaburi Chapter 116 is part of the Book of Zaburi in the Holy Bible.

Can I read this chapter online?

Yes. You can read the complete Zaburi Chapter 116 online for free with easy chapter navigation.

More Chapters from Agano la Kale

  1. Zaburi Chapter 1
  2. Habakuki Chapter 3
  3. Ayubu Chapter 1
  4. Zaburi Chapter 2
  5. Kutoka Chapter 11
  6. Kutoka Chapter 2
  7. Ayubu Chapter 4

Explore More from Zaburi

  1. Zaburi Chapter 24
  2. Zaburi Chapter 134
  3. Zaburi Chapter 50
  4. Zaburi Chapter 73
  5. Zaburi Chapter 142
  6. Zaburi Chapter 76
  7. Zaburi Chapter 146

Related Chapters & Readings

  1. Hesabu Chapter 19
  2. Matendo ya Mitume Chapter 9
  3. Kutoka Chapter 17
  4. Yohana Chapter 9
  5. 1 Yohana Chapter 2
  6. Waamuzi Chapter 20
  7. Kumbukumbu la Torati Chapter 24
Share Your Love

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *