Zaburi Chapter 110

For English

Read Zaburi Chapter 110 Online

Read Zaburi Chapter 110 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of Zaburi in the Old Testament. Browse every verse with easy chapter navigation, continue to the next chapter, or explore the complete Book of Zaburi and the Holy Bible online.

Choose a Chapter

Zaburi 110

Sura 110

1. Neno la Bwana kwa Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kuume, Hata niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.

2. Bwana atainyosha toka Sayuni Fimbo ya nguvu zako. Uwe na enzi kati ya adui zako;

3. Watu wako wanajitoa kwa hiari, Siku ya uwezo wako; Kwa uzuri wa utakatifu, Tokea tumbo la asubuhi, Unao umande wa ujana wako.

4. Bwana ameapa, Wala hataghairi, Ndiwe kuhani hata milele, Kwa mfano wa Melkizedeki.

5. Bwana yu mkono wako wa kuume; Ataseta wafalme, Siku ya ghadhabu yake.

6. Atahukumu kati ya mataifa, Ataijaza nchi mizoga; Ataseta kichwa katika nchi nyingi.

7. Atakunywa maji ya mto njiani; Kwa hiyo atakiinua kichwa chake.

About Zaburi Chapter 110

Read Zaburi Chapter 110 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of Zaburi in the Old Testament. Continue reading with the chapter navigation above or explore the complete book.

Book Information

Book: Zaburi
Chapter: 110
Testament: Old Testament

How to Read this Chapter

Use the Previous and Next Chapter buttons to continue reading Zaburi. You can also adjust the font size for comfortable reading and browse other books of the Bible using the navigation links.

https://www.youtube.com/watch?v=rzsT_Q3KLzE

More Resources

Continue Reading the Bible

Continue reading Zaburi Chapter 110 and explore every book, chapter and verse of the Holy Bible. Use the navigation links above and below to move through the Scriptures with ease.

Frequently Asked Questions

What is Zaburi Chapter 110?

Zaburi Chapter 110 is part of the Book of Zaburi in the Holy Bible.

Can I read this chapter online?

Yes. You can read the complete Zaburi Chapter 110 online for free with easy chapter navigation.

More Chapters from Agano la Kale

  1. Zaburi Chapter 1
  2. Habakuki Chapter 3
  3. Ayubu Chapter 1
  4. Zaburi Chapter 2
  5. Ayubu Chapter 4
  6. Kutoka Chapter 11
  7. Kutoka Chapter 2

Explore More from Zaburi

  1. Zaburi Chapter 54
  2. Zaburi Chapter 137
  3. Zaburi Chapter 12
  4. Zaburi Chapter 149
  5. Zaburi Chapter 76
  6. Zaburi Chapter 46
  7. Zaburi Chapter 106

Related Chapters & Readings

  1. Mwanzo Chapter 30
  2. Isaya Chapter 49
  3. 2 Mambo ya Nyakati Chapter 4
  4. Zaburi Chapter 2
  5. Kumbukumbu la Torati Chapter 12
  6. 2 Mambo ya Nyakati Chapter 36
  7. Kumbukumbu la Torati Chapter 19
Share Your Love

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *