Zaburi Chapter 141

For English

Read Zaburi Chapter 141 Online

Read Zaburi Chapter 141 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of Zaburi in the Old Testament. Browse every verse with easy chapter navigation, continue to the next chapter, or explore the complete Book of Zaburi and the Holy Bible online.

Choose a Chapter

Zaburi 141

Sura 141

1. Ee Bwana, nimekuita, unijie hima, Uisikie sauti yangu nikuitapo.

2. Sala yangu ipae mbele zako kama uvumba, Kuinuliwa mikono yangu kama dhabihu ya jioni.

3. Ee Bwana, uweke mlinzi kinywani pangu, Mngojezi mlangoni pa midomo yangu.

4. Usiuelekeze moyo wangu kunako jambo baya, Nisiyazoelee matendo yasiyofaa, Pamoja na watu watendao maovu; Wala nisile vyakula vyao vya anasa.

5. Mwenye haki na anipige, itakuwa fadhili; Anikemee, itakuwa kama mafuta kichwani; Kichwa changu kisikatae, Maana siachi kusali kati ya mabaya yao.

6. Makadhi wao wakiangushwa kando ya genge, Watayasikia maneno yangu, maana ni matamu.

7. Kama kupasua kuni na kuzichanja juu ya nchi, Ndivyo ilivyo mifupa yetu mdomoni pa kuzimu.

8. Macho yangu yanakuelekea Wewe, MUNGU Bwana, Nimekukimbilia Wewe, usiniache nafsi yangu.

9. Unilinde na mtego walionitegea, Na matanzi yao watendao maovu.

10. Wabaya na waanguke katika nyavu zao wenyewe, Pindi mimi ninapopita salama.

About Zaburi Chapter 141

Read Zaburi Chapter 141 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of Zaburi in the Old Testament. Continue reading with the chapter navigation above or explore the complete book.

Book Information

Book: Zaburi
Chapter: 141
Testament: Old Testament

How to Read this Chapter

Use the Previous and Next Chapter buttons to continue reading Zaburi. You can also adjust the font size for comfortable reading and browse other books of the Bible using the navigation links.

https://www.youtube.com/watch?v=rzsT_Q3KLzE

More Resources

Continue Reading the Bible

Continue reading Zaburi Chapter 141 and explore every book, chapter and verse of the Holy Bible. Use the navigation links above and below to move through the Scriptures with ease.

Frequently Asked Questions

What is Zaburi Chapter 141?

Zaburi Chapter 141 is part of the Book of Zaburi in the Holy Bible.

Can I read this chapter online?

Yes. You can read the complete Zaburi Chapter 141 online for free with easy chapter navigation.

More Chapters from Agano la Kale

  1. Zaburi Chapter 1
  2. Habakuki Chapter 3
  3. Ayubu Chapter 1
  4. Zaburi Chapter 2
  5. Kutoka Chapter 11
  6. Kutoka Chapter 2
  7. Ayubu Chapter 4

Explore More from Zaburi

  1. Zaburi Chapter 93
  2. Zaburi Chapter 52
  3. Zaburi Chapter 11
  4. Zaburi Chapter 66
  5. Zaburi Chapter 37
  6. Zaburi Chapter 42
  7. Zaburi Chapter 21

Related Chapters & Readings

  1. Kumbukumbu la Torati Chapter 6
  2. Ayubu Chapter 1
  3. Isaya Chapter 6
  4. 2 Mambo ya Nyakati Chapter 28
  5. Mwanzo Chapter 2
  6. Isaya Chapter 64
  7. Zaburi Chapter 109
Share Your Love

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *