Read Zaburi Chapter 81 Online
Read Zaburi Chapter 81 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of Zaburi in the Old Testament. Browse every verse with easy chapter navigation, continue to the next chapter, or explore the complete Book of Zaburi and the Holy Bible online.
Choose a Chapter
Zaburi 81
Sura 81
1. Mwimbieni Mungu, nguvu zetu, nyimbo za furaha, Mshangilieni Mungu wa Yakobo.
2. Pazeni zaburi, pigeni matari, Kinubi chenye sauti nzuri, na kinanda.
3. Pigeni panda mwandamo wa mwezi, Wakati wa mbalamwezi, sikukuu yetu.
4. Kwa maana ni sheria kwa Israeli, Ni hukumu ya Mungu wa Yakobo.
5. Aliamuru iwe ushuhuda katika Yusufu, Alipoondoka juu ya nchi ya Misri; Maneno yake nisiyemjua naliyasikia.
6. Nimelitenga bega lake na mzigo, Mikono yake ikaachana na kikapu.
7. Katika shida uliniita nikakuokoa; Nalikuitikia katika sitara ya radi; Nalikujaribu penye maji ya Meriba.
8. Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya, Ee Israeli, kama ukitaka kunisikiliza;
9. Usiwe na mungu mgeni ndani yako; Wala usimsujudie mungu mwingine.
10. Mimi ndimi Bwana, Mungu wako, Niliyekupandisha toka nchi ya Misri; Fumbua sana kinywa chako nami nitakijaza.
11. Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu, Wala Israeli hawakunitaka.
12. Nikawaacha wakaenda kwa ukaidi wa mioyo yao, Waenende katika mashauri yao.
13. Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu;
14. Ningewadhili adui zao kwa upesi, Na juu ya watesi wao ningegeuza mkono wangu;
15. Wamchukiao Bwana wangenyenyekea mbele zake, Bali wakati wao ungedumu milele.
16. Naam, ningewalisha kwa unono wa ngano, Ningewashibisha kwa asali itokayo mwambani.
About Zaburi Chapter 81
Read Zaburi Chapter 81 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of Zaburi in the Old Testament. Continue reading with the chapter navigation above or explore the complete book.
Book Information
Book: Zaburi
Chapter: 81
Testament: Old Testament
How to Read this Chapter
Use the Previous and Next Chapter buttons to continue reading Zaburi. You can also adjust the font size for comfortable reading and browse other books of the Bible using the navigation links.
More Resources
Continue Reading the Bible
Continue reading Zaburi Chapter 81 and explore every book, chapter and verse of the Holy Bible. Use the navigation links above and below to move through the Scriptures with ease.
Frequently Asked Questions
What is Zaburi Chapter 81?
Zaburi Chapter 81 is part of the Book of Zaburi in the Holy Bible.
Can I read this chapter online?
Yes. You can read the complete Zaburi Chapter 81 online for free with easy chapter navigation.
More Chapters from Agano la Kale
- Zaburi Chapter 1
- Habakuki Chapter 3
- Ayubu Chapter 1
- Zaburi Chapter 2
- Kutoka Chapter 11
- Kutoka Chapter 2
- Ayubu Chapter 4
Explore More from Zaburi
- Zaburi Chapter 83
- Zaburi Chapter 108
- Zaburi Chapter 142
- Zaburi Chapter 92
- Zaburi Chapter 37
- Zaburi Chapter 41
- Zaburi Chapter 113