1 Mambo ya Nyakati Chapter 3

For English

Read 1 Mambo ya Nyakati Chapter 3 Online

Read 1 Mambo ya Nyakati Chapter 3 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of 1 Mambo ya Nyakati in the Old Testament. Browse every verse with easy chapter navigation, continue to the next chapter, or explore the complete Book of 1 Mambo ya Nyakati and the Holy Bible online.

Choose a Chapter

1 Mambo ya Nyakati 3

Sura 3

1. Basi hawa ndio wana wa Daudi, aliozaliwa huko Hebroni; Amnoni, mzaliwa wa kwanza, mwana wa Ahinoamu, Myezreeli; wa pili, Danieli, wa Abigaili, Mkarmeli;

2. wa tatu, Absalomu, mwana wa Maaka, binti Talmai, mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, mwana wa Hagithi;

3. wa tano, Shefatia, wa Abitali; wa sita, Ithreamu, kwa Egla, mkewe.

4. Sita alizaliwa huko Hebroni; na huko akamiliki miaka saba na miezi sita; na huko Yerusalemu akamiliki miaka thelathini na mitatu.

5. Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu;

6. na Ibhari, na Elishua, na Elipeleti;

7. na Noga, na Nefegi, na Yafia;

8. na Elishama, na Eliada, na Elifeleti, watu kenda.

9. Hao wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wana wa masuria; na Tamari alikuwa umbu lao.

10. Na mwanawe Sulemani alikuwa Rehoboamu; na mwanawe huyo alikuwa Abiya; na mwanawe huyo ni Asa; na mwanawe huyo ni Yehoshafati;

11. na mwanawe huyo ni Yehoramu; na mwanawe huyo ni Ahazia; na mwanawe huyo ni Yoashi;

12. na mwanawe huyo ni Amazia; na mwanawe huyo ni Uzia; na mwanawe huyo ni Yothamu;

13. na mwanawe huyo ni Ahazi; na mwanawe huyo ni Hezekia; na mwanawe huyo ni Manase;

14. na mwanawe huyo ni Amoni; na mwanawe huyo ni Yosia.

15. Na wana wa Yosia walikuwa hawa; Yohana mzaliwa wa kwanza, wa pili Yehoyakimu, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.

16. Na wana wa Yehoyakimu ni hawa; mwanawe Yekonia, na mwanawe Sedekia.

17. Na wana wa Yekonia, huyo aliyechukuliwa mateka; mwanawe Shealtieli,

18. na Malkiramu, na Pedaya, na Shenazari, na Yekamia, na Hoshama, na Nedabia.

19. Na wana wa Pedaya; Zerubabeli, na Shimei; na wana wa Zerubabeli; Meshulamu na Hanania; na Shelomithi alikuwa umbu lao;

20. na Hashuba, na Oheli, na Berekia, na Hasadia, na Yushab-Hesedi, watu watano.

21. Na wana wa Hanania; Pelatia na Yeshaya; na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.

22. Na wana wa Shekania ni hawa; Shemaya, na wana wa Shemaya; Hatushi, na Igali, na Baria, na Nearia, na Shafati, watu sita.

23. Na wana wa Nearia; Elioenai, na Hezekia, na Azrikamu, watu watatu.

24. Na wana wa Elioenai; Hodavia, na Eliashibu, na Pelaya, na Akubu, na Yohana, na Delaya, na Anani, watu saba.

About 1 Mambo ya Nyakati Chapter 3

Read 1 Mambo ya Nyakati Chapter 3 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of 1 Mambo ya Nyakati in the Old Testament. Continue reading with the chapter navigation above or explore the complete book.

Book Information

Book: 1 Mambo ya Nyakati
Chapter: 3
Testament: Old Testament

How to Read this Chapter

Use the Previous and Next Chapter buttons to continue reading 1 Mambo ya Nyakati. You can also adjust the font size for comfortable reading and browse other books of the Bible using the navigation links.

https://www.youtube.com/watch?v=rzsT_Q3KLzE

More Resources

Continue Reading the Bible

Continue reading 1 Mambo ya Nyakati Chapter 3 and explore every book, chapter and verse of the Holy Bible. Use the navigation links above and below to move through the Scriptures with ease.

Frequently Asked Questions

What is 1 Mambo ya Nyakati Chapter 3?

1 Mambo ya Nyakati Chapter 3 is part of the Book of 1 Mambo ya Nyakati in the Holy Bible.

Can I read this chapter online?

Yes. You can read the complete 1 Mambo ya Nyakati Chapter 3 online for free with easy chapter navigation.

More Chapters from 1-mambo-ya-nyakati

  1. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 17
  2. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 6
  3. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 25
  4. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 2
  5. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 1
  6. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 15
  7. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 28

Explore More from Agano la Kale

  1. Zaburi Chapter 52
  2. Mithali Chapter 9
  3. Ezekieli Chapter 39
  4. Mika Chapter 5
  5. 2 Mambo ya Nyakati Chapter 2
  6. Zaburi Chapter 28
  7. Kumbukumbu la Torati Chapter 29

Related Chapters & Readings

  1. Esta Chapter 1
  2. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 14
  3. Hesabu Chapter 15
  4. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 2
  5. Kumbukumbu la Torati Chapter 27
  6. 2 Samweli Chapter 20
  7. Marko Chapter 16
Share Your Love

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *