1 Mambo ya Nyakati Chapter 1

For English

Read 1 Mambo ya Nyakati Chapter 1 Online

Read 1 Mambo ya Nyakati Chapter 1 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of 1 Mambo ya Nyakati in the Old Testament. Browse every verse with easy chapter navigation, continue to the next chapter, or explore the complete Book of 1 Mambo ya Nyakati and the Holy Bible online.

Choose a Chapter

1 Mambo ya Nyakati 1

Sura 1

1. Adamu, na Sethi, na Enoshi;

2. na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi;

3. na Henoko, na Methusela, na Lameki;

4. na Nuhu, na Shemu, na Hamu, na Yafethi.

5. Wana wa Yafethi; Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.

6. Na wana wa Gomeri; Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.

7. Na wana wa Yavani; Elisha, na Tarshishi, na Kitimu, na Warodani.

8. Wana wa Hamu; Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.

9. Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani.

10. Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.

11. Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

12. na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.

13. Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;

14. na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;

15. na Mhivi, na Mwarki, na Msini;

16. na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.

17. Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.

18. Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.

19. Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani.

20. Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera;

21. na Hadoramu, na Uzali, na Dikla;

22. na Obali, na Abimaeli, na Sheba;

23. na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.

24. Shemu, na Arfaksadi, na Sala;

25. na Eberi, na Pelegi, na Reu;

26. na Serugi, na Nahori, na Tera;

27. na Abramu, naye ndiye Ibrahimu.

28. Wana wa Ibrahimu; Isaka, na Ishmaeli.

29. Hivi ndivyo vizazi vyao; mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Nebayothi; kisha Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu;

30. na Mishma, na Duma, na Masa, na Hadadi, na Tema;

31. na Yeturi, na, Nafishi, na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.

32. Na wana wa Ketura, suria yake Ibrahimu; yeye akamzaa Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Shua. Na wana wa Yokshani; Sheba na Dedani.

33. Na wana wa Midiani; Efa, na Eferi, na Hanoki, na Abida, na Eldaa. Hao wote ndio wana wa Ketura.

34. Na Ibrahimu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli.

35. Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora.

36. Wana wa Elifazi; Temani, na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi, na, kwa Timna, Amaleki.

37. Wana wa Reueli; Nahathi, na Zera, na Shama, na Miza.

38. Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.

39. Na wana wa Lotani; Hori, na Hemamu; na Timna ni umbu lake Lotani.

40. Wana wa Shobali; Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu. Na wana wa Sibeoni; Aya, na Ana.

41. Wana wa Ana; Dishoni. Na wana wa Dishoni; Hemdani, na Eshbani, na Ithrani, na Kerani.

42. Wana wa Eseri; Bilhani, na Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani; Usi, na Arani.

43. Basi hawa ndio wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu, kabla hajamiliki mfalme awaye yote juu ya wana wa Israeli; Bela, mwana wa Beori; na jina la mji wake ni Dinhaba.

44. Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akamiliki badala yake.

45. Yobabu akafa, naye Hushamu, wa nchi ya Watemani, akamiliki badala yake.

46. Hushamu akafa, naye Hadadi, mwana wa Bedadi, akamiliki badala yake, ambaye aliwapiga Midiani katika uwanja wa Moabu; na jina la mji wake ni Avithi.

47. Hadadi akafa, naye Samla, wa Masreka, akamiliki badala yake.

48. Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akamiliki badala yake.

49. Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akamiliki badala yake.

50. Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akamiliki badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.

51. Akafa Hadadi. Na hawa ndio majumbe wa Edomu; jumbe Timna, na jumbe Alva, na jumbe Yethethi;

52. na jumbe Oholibama, na jumbe Ela, na jumbe Pinoni;

53. na jumbe Kenazi, na jumbe Temani, na jumbe Mibsari;

54. na jumbe Magdieli, na jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu.

About 1 Mambo ya Nyakati Chapter 1

Read 1 Mambo ya Nyakati Chapter 1 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of 1 Mambo ya Nyakati in the Old Testament. Continue reading with the chapter navigation above or explore the complete book.

Book Information

Book: 1 Mambo ya Nyakati
Chapter: 1
Testament: Old Testament

How to Read this Chapter

Use the Previous and Next Chapter buttons to continue reading 1 Mambo ya Nyakati. You can also adjust the font size for comfortable reading and browse other books of the Bible using the navigation links.

https://www.youtube.com/watch?v=rzsT_Q3KLzE

More Resources

Continue Reading the Bible

Continue reading 1 Mambo ya Nyakati Chapter 1 and explore every book, chapter and verse of the Holy Bible. Use the navigation links above and below to move through the Scriptures with ease.

Frequently Asked Questions

What is 1 Mambo ya Nyakati Chapter 1?

1 Mambo ya Nyakati Chapter 1 is part of the Book of 1 Mambo ya Nyakati in the Holy Bible.

Can I read this chapter online?

Yes. You can read the complete 1 Mambo ya Nyakati Chapter 1 online for free with easy chapter navigation.

More Chapters from 1-mambo-ya-nyakati

  1. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 17
  2. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 6
  3. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 25
  4. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 2
  5. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 15
  6. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 28
  7. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 23

Explore More from Agano la Kale

  1. 2 Mambo ya Nyakati Chapter 31
  2. Ezekieli Chapter 42
  3. Isaya Chapter 18
  4. Danieli Chapter 2
  5. Wimbo Ulio Bora Chapter 3
  6. Ezekieli Chapter 46
  7. Yeremia Chapter 24

Related Chapters & Readings

  1. Kumbukumbu la Torati Chapter 9
  2. Zaburi Chapter 85
  3. Yoshua Chapter 24
  4. Mhubiri Chapter 1
  5. Ezekieli Chapter 3
  6. Warumi Chapter 4
  7. Marko Chapter 9
Share Your Love

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *