1 Mambo ya Nyakati Chapter 2

For English

Read 1 Mambo ya Nyakati Chapter 2 Online

Read 1 Mambo ya Nyakati Chapter 2 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of 1 Mambo ya Nyakati in the Old Testament. Browse every verse with easy chapter navigation, continue to the next chapter, or explore the complete Book of 1 Mambo ya Nyakati and the Holy Bible online.

Choose a Chapter

1 Mambo ya Nyakati 2

Sura 2

1. Hawa ndio wana wa Israeli; Reubeni, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni;

2. na Dani, na Yusufu, na Benyamini, na Naftali, na Gadi, na Asheri.

3. Wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela; ambao hao watatu alizaliwa na binti Shua, Mkanaani. Naye Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa Bwana; naye akamwua.

4. Na Tamari, mkwewe, akamzalia Peresi, na Zera. Wana wote wa Yuda ni watano.

5. Wana wa Peresi; Hesroni, na Hamuli.

6. Na wana wa Zera; Zabdi, na Ethani, na Hemani, na Kalkoli, na Darda; hao wote ni watano.

7. Na wana wa Karmi; Akani, yule mwenye kutaabisha Israeli, aliyekosa katika kitu kilichowekwa wakfu.

8. Na wana wa Ethani; Azaria.

9. Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.

10. Na Ramu akamzaa Aminadabu; na Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa wana wa Yuda;

11. na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;

12. na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;

13. na Yese akamzaa Eliabu, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Abinadabu, na wa tatu Shama;

14. na wa nne Nethaneli, na wa tano Radai;

15. na wa sita Ozemu, na wa saba Daudi;

16. na maumbu yao ni Seruya, na Abigaili. Na wana wa Seruya walikuwa, Abishai, na Yoabu, na Asaheli; hao watatu.

17. Na Abigaili akamzaa Amasa; na babaye Amasa ni Yetheri, Mwishmaeli.

18. Basi Kalebu, mwana wa Hesroni, akazaliwa wana na mkewe Azubu, na Yeriothi, na hawa ndio wanawe wa kiume; Yesheri, na Shobabu, na Ardoni.

19. Akafa Azuba, naye Kalebu akamtwaa Efrathi, aliyemzalia Huri.

20. Naye Huri akamzaa Uri; na Uri akamzaa Besaleli.

21. Na baadaye Hesroni akamwingilia binti wa Makiri, babaye Gileadi; ambaye alimtwaa alipokuwa mwenye miaka sitini; naye akamzalia Segubu.

22. Na Segubu akamzaa Yairi, aliyekuwa mwenye miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.

23. Na Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi, pamoja na Kenathi na miji yake, jumla yote miji sitini. Hao wote ni wana wa Makiri, babaye Gileadi.

24. Tena, baada ya kufa kwake Hesroni huko Kalebu-Efrata, ndipo Abia, mkewe Hesroni, alipomzalia Ashuri, babaye Teboa.

25. Na wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa Ramu, mzaliwa wa kwanza, na Buna, na Oreni, na Ozemu; kwa Ahiya.

26. Naye Yerameeli alikuwa na mke mwingine, jina lake Atara; yeye alikuwa mamaye Onamu.

27. Na wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, na Yamini, na Ekeri.

28. Na wana wa Onamu walikuwa Shamai, na Yada; na wana wa Shamai; Nadabu, na Abishuri.

29. Na mkewe Abishuri aliitwa jina lake Abihaili; naye akamzalia Abani, na Molidi.

30. Na wana wa Nadabu; Seledi, na Apaimu; walakini Seledi alikufa hana watoto.

31. Na wana wa Apaimu; Ishi. Na wana wa Ishi; Sheshani. Na wana wa Sheshani; Alai.

32. Na wana wa Yada, nduguye Shamai; Yetheri, na Yonathani; naye Yetheri akafa hana watoto.

33. Na wana wa Yonathani; Pelethi, na Zaza. Hao ndio wana wa Yerameeli.

34. Basi huyo Sheshani alikuwa hana wana wa kiume, ila binti. Naye Sheshani alikuwa na mtumwa, Mmisri, jina lake akiitwa Yarha.

35. Basi akamwoza binti yake aolewe na Yarha, mtumwa wake; naye akamzalia Atai.

36. Na Atai akamzaa Nathani; na Nathani akamzaa Zabadi;

37. na Zabadi akamzaa Eflali; na Eflali akamzaa Obedi;

38. na Obedi akamzaa Yehu; na Yehu akamzaa Azaria;

39. na Azaria akamzaa Helesi; na Helesi akamzaa Eleasa

40. na Eleasa akamzaa Sismai; na Sismai akamzaa Shalumu;

41. na Shalumu akamzaa Yekamia; na Yekamia akamzaa Elishama.

42. Na wana wa Kalebu, nduguye Yerameeli, walikuwa Mesha, mzaliwa wake wa kwanza, aliyekuwa babaye Zifu; na wana wa Maresha, babaye Hebroni.

43. Na wana wa Hebroni; Kora, na Tapua, na Rekemu, na Shema.

44. Naye Shema akamzaa Rahamu, babaye Yorkeamu; na Rekemu akamzaa Shamai.

45. Na mwana wake Shamai alikuwa Maoni; na Maoni alikuwa babaye Bethsuri.

46. Naye Efa, suria yake Kalebu, alimzaa Harani, na Mosa, na Gazezi; naye Harani akamzaa Gazezi.

47. Na wana wa Yadai; Regemu, na Yothamu, na Geshani, na Peleti, na Efa, na Shaafu.

48. Naye Maaka, suria yake Kalebu, akamzalia Sheberi, na Tirhana.

49. Tena akamzaa Shaafu, babaye Madmana; na Sheva babaye Makbena; na babaye Gibea; naye binti Kalebu alikuwa Aksa.

50. Hao walikuwa wana wa Kalebu. Wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi; Shobali, babaye Kiriath-Yearimu;

51. Salma, babaye Bethlehemu; na Harefu, babaye Beth-gaderi.

52. Naye Shobali, babaye Kiriath-Yearimu, alikuwa na wana; Haroe, na nusu ya Wamenuhothi.

53. Na jamaa za Kiriath-Yearimu; Waithri, na Waputhi, na Washumathi, na Wamishrai; katika hao walitoka Wasorathi, na Waeshtaoli.

54. Na wana wa Salma; Bethlehemu, na Wanetofathi, Atroth-beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi, na Wazori.

55. Na jamaa za waandishi waliokaa Yabesi; Watirathi, na Washimeathi, na Wasukathi. Hao ndio Wakeni, waliotoka kwake Hamathi, babaye mbari ya Rekabu.

About 1 Mambo ya Nyakati Chapter 2

Read 1 Mambo ya Nyakati Chapter 2 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of 1 Mambo ya Nyakati in the Old Testament. Continue reading with the chapter navigation above or explore the complete book.

Book Information

Book: 1 Mambo ya Nyakati
Chapter: 2
Testament: Old Testament

How to Read this Chapter

Use the Previous and Next Chapter buttons to continue reading 1 Mambo ya Nyakati. You can also adjust the font size for comfortable reading and browse other books of the Bible using the navigation links.

https://www.youtube.com/watch?v=rzsT_Q3KLzE

More Resources

Continue Reading the Bible

Continue reading 1 Mambo ya Nyakati Chapter 2 and explore every book, chapter and verse of the Holy Bible. Use the navigation links above and below to move through the Scriptures with ease.

Frequently Asked Questions

What is 1 Mambo ya Nyakati Chapter 2?

1 Mambo ya Nyakati Chapter 2 is part of the Book of 1 Mambo ya Nyakati in the Holy Bible.

Can I read this chapter online?

Yes. You can read the complete 1 Mambo ya Nyakati Chapter 2 online for free with easy chapter navigation.

More Chapters from 1-mambo-ya-nyakati

  1. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 17
  2. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 6
  3. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 25
  4. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 1
  5. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 15
  6. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 28
  7. 1 Mambo ya Nyakati Chapter 23

Explore More from Agano la Kale

  1. 1 Samweli Chapter 24
  2. Zaburi Chapter 85
  3. Kutoka Chapter 2
  4. Zaburi Chapter 63
  5. Ezekieli Chapter 9
  6. Yoshua Chapter 7
  7. Yeremia Chapter 12

Related Chapters & Readings

  1. Yeremia Chapter 20
  2. Ayubu Chapter 29
  3. Isaya Chapter 14
  4. Zaburi Chapter 48
  5. 2 Mambo ya Nyakati Chapter 32
  6. Mhubiri Chapter 8
  7. Wafilipi Chapter 3
Share Your Love

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *