Tito Chapter 2

For English

Read Tito Chapter 2 Online

Read Tito Chapter 2 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of Tito in the New Testament. Browse every verse with easy chapter navigation, continue to the next chapter, or explore the complete Book of Tito and the Holy Bible online.

Choose a Chapter

Tito 2

Sura 2

1. Lakini wewe nena mambo yapasayo mafundisho yenye uzima;

2. ya kwamba wazee wawe wenye kiasi, wastahivu, wenye busara, wazima katika imani na katika upendo na katika saburi.

3. Vivyo hivyo na wazee wa kike wawe na mwenendo wa utakatifu; wasiwe wasingiziaji, wasiwe wenye kutumia mvinyo nyingi, bali wafundishao mema;

4. ili wawatie wanawake vijana akili, wawapende waume zao, na kuwapenda watoto wao;

5. na kuwa wenye kiasi, kuwa safi, kufanya kazi nyumbani mwao, kuwa wema, kuwatii waume zao wenyewe; ili neno la Mungu lisitukanwe.

6. Vivyo hivyo na vijana waume uwaonye kuwa na kiasi;

7. katika mambo yote ukijionyesha wewe mwenyewe kuwa kielelezo cha matendo mema, na katika mafundisho yako ukionyesha usahihi na ustahivu,

8. na maneno yenye uzima yasiyoweza kuhukumiwa makosa, ili yule mwenye kupinga atahayarike, kwa kuwa hana neno baya la kunena juu yetu.

9. Watumwa na wawatii bwana zao, wakiwapendeza katika mambo yote; wasiwe wenye kujibu,

10. wasiwe waibaji; bali wauonyeshe uaminifu mwema wote, ili wayapambe mafundisho ya Mwokozi wetu Mungu katika mambo yote.

11. Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa;

12. nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa;

13. tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

14. ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema.

15. Nena maneno hayo, onya na kukaripia kwa mamlaka yote; asikudharau mtu awaye yote.

About Tito Chapter 2

Read Tito Chapter 2 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of Tito in the New Testament. Continue reading with the chapter navigation above or explore the complete book.

Book Information

Book: Tito
Chapter: 2
Testament: New Testament

How to Read this Chapter

Use the Previous and Next Chapter buttons to continue reading Tito. You can also adjust the font size for comfortable reading and browse other books of the Bible using the navigation links.

https://www.youtube.com/watch?v=rzsT_Q3KLzE

More Resources

Continue Reading the Bible

Continue reading Tito Chapter 2 and explore every book, chapter and verse of the Holy Bible. Use the navigation links above and below to move through the Scriptures with ease.

Frequently Asked Questions

What is Tito Chapter 2?

Tito Chapter 2 is part of the Book of Tito in the Holy Bible.

Can I read this chapter online?

Yes. You can read the complete Tito Chapter 2 online for free with easy chapter navigation.

More Chapters from Agano Jipya

  1. Waebrania Chapter 1
  2. Waebrania Chapter 5
  3. Waebrania Chapter 6
  4. Waebrania Chapter 4
  5. Waebrania Chapter 2
  6. Ufunuo wa Yohana Chapter 15
  7. Ufunuo wa Yohana Chapter 8

Explore More from tito

  1. Tito Chapter 1
  2. Tito Chapter 2
  3. Tito Chapter 3
  4. Tito Chapter 1
  5. Tito Chapter 3
  6. Tito Chapter 1
  7. Tito Chapter 3

Related Chapters & Readings

  1. Marko Chapter 14
  2. Kutoka Chapter 20
  3. Mwanzo Chapter 19
  4. 2 Samweli Chapter 6
  5. Yeremia Chapter 30
  6. Maombolezo Chapter 1
  7. Isaya Chapter 37
Share Your Love

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *