2 Wakorintho Chapter 13

For English

Read 2 Wakorintho Chapter 13 Online

Read 2 Wakorintho Chapter 13 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of 2 Wakorintho in the New Testament. Browse every verse with easy chapter navigation, continue to the next chapter, or explore the complete Book of 2 Wakorintho and the Holy Bible online.

Choose a Chapter

2 Wakorintho 13

Sura 13

1. Hii ndiyo mara ya tatu ya mimi kuja kwenu. Kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno litathibitishwa.

2. Nimetangulia kuwaambia; na, kama vile nilipokuwapo mara ya pili, vivyo hivyo sasa nisipokuwapo, nawaambia wazi wao waliotenda dhambi tangu hapo, na wengine wote, ya kwamba, nikija, sitahurumia;

3. kwa kuwa mnatafuta dalili ya Kristo, asemaye ndani yangu, ambaye si dhaifu kwenu, bali ana uweza ndani yenu.

4. Maana, alisulibiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza wa Mungu ulio kwenu.

5. Jijaribuni wenyewe kwamba mmekuwa katika imani; jithibitisheni wenyewe. Au hamjijui wenyewe, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Isipokuwa mmekataliwa.

6. Lakini natumaini kama mtajua ya kuwa sisi hatukukataliwa.

7. Nasi twamwomba Mungu, msifanye lo lote lililo baya; si kwamba sisi tuonekane tumekubaliwa, lakini ninyi mfanye lile lililo jema, tujapokuwa sisi tu kama waliokataliwa.

8. Maana hatuwezi kutenda neno lo lote kinyume cha kweli, bali kwa ajili ya kweli.

9. Maana twafurahi, iwapo sisi tu dhaifu, nanyi mmekuwa hodari. Tena twaomba hili nalo, kutimilika kwenu.

10. Kwa sababu hiyo, naandika haya nisipokuwapo, ili, nikiwapo, nisiutumie ukali kwa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana, kwa kujenga wala si kwa kubomoa.

11. Hatimaye, ndugu, kwaherini; mtimilike, mfarijike, nieni mamoja, mkae katika amani; na Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.

12. Salimianeni kwa busu takatifu.

13. Watakatifu wote wawasalimu.

14. Neema ya Bwana Yesu Kristo, na pendo la Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi nyote.

About 2 Wakorintho Chapter 13

Read 2 Wakorintho Chapter 13 online from the Holy Bible. This chapter is part of the Book of 2 Wakorintho in the New Testament. Continue reading with the chapter navigation above or explore the complete book.

Book Information

Book: 2 Wakorintho
Chapter: 13
Testament: New Testament

How to Read this Chapter

Use the Previous and Next Chapter buttons to continue reading 2 Wakorintho. You can also adjust the font size for comfortable reading and browse other books of the Bible using the navigation links.

https://www.youtube.com/watch?v=rzsT_Q3KLzE

More Resources

Continue Reading the Bible

Continue reading 2 Wakorintho Chapter 13 and explore every book, chapter and verse of the Holy Bible. Use the navigation links above and below to move through the Scriptures with ease.

Frequently Asked Questions

What is 2 Wakorintho Chapter 13?

2 Wakorintho Chapter 13 is part of the Book of 2 Wakorintho in the Holy Bible.

Can I read this chapter online?

Yes. You can read the complete 2 Wakorintho Chapter 13 online for free with easy chapter navigation.

More Chapters from 2-wakorintho

  1. 2 Wakorintho Chapter 12
  2. 2 Wakorintho Chapter 8
  3. 2 Wakorintho Chapter 7
  4. 2 Wakorintho Chapter 6
  5. 2 Wakorintho Chapter 11
  6. 2 Wakorintho Chapter 10
  7. 2 Wakorintho Chapter 3

Explore More from Agano Jipya

  1. Mathayo Chapter 15
  2. 2 Wathesalonike Chapter 1
  3. Matendo ya Mitume Chapter 5
  4. Luka Chapter 13
  5. Warumi Chapter 9
  6. Waefeso Chapter 3
  7. Matendo ya Mitume Chapter 11

Related Chapters & Readings

  1. Zaburi Chapter 22
  2. Ezekieli Chapter 23
  3. Ezekieli Chapter 20
  4. Mhubiri Chapter 12
  5. Kumbukumbu la Torati Chapter 31
  6. Ezra Chapter 4
  7. Mwanzo Chapter 4
Share Your Love

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *